Wameafikiana katika lengo moja
Watu wote wanatafuta furaha, hivyo basi njia iko wapi?! Kila mtu kwa njia yake nyepesi anatafuta furaha, pamoja na tofauti mbalimbali za watu kuhusu madhehebu yao, kabila zao, utaifa wao, misingi yao ya kimaadili, malengo yao, ila wote kwa pamoja wanaafikiana katika lengo moja; nayo ni; kutafuta furaha na utulivu.
Benjamin Disraeli
Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza.
Furaha kwa mkabala
“Huenda ukasimamia jambo lisilokuletea furaha lakini hakuna furaha bila ya kusimamia jambo.”